← Back to papers
CSEE 🇹🇿 NECTA

Kiswahili · Paper 1 · 2018

17 questions

💰 Sit full exam 200 TZS

3-hour timed simulation · auto-graded · counts toward ranking

Pay & start exam →
Questions (17)

Section A

1. 0 marks

(a) Kwa mujibu wa habari uliyosoma eleza kitu kilichoathiri uzuri wa Mwanaheri. 0 mk
(a) Explain the meaning of the proverb: "mwenzio akinyolewa na wewe tia maji maana yaliyompata beku na ungo yatampata". 2 mk
(b) Andika nahau mbili zinazopatikana katika kifungu cha habari ulichokisoma. 0 mk
(b) What does the passage imply about the saying: "ujana ni kama maua"? 2 mk
(c) Explain the statement: "Kidagaa kimemwozea." 2 mk
(c) Fafanua methali zifuatazo kwa kutoa mifano halisi kutoka katika simulizi uliyosoma: (i) Maji yakimwagika hayazoleki. (ii) Asiyesikia la mkuu huvujika guu. 0 mk
(d) Andika kichwa cha habari kinachofaa kwa habari uliyosoma. 0 mk
(d) How did Mwanaheri's past behavior affect his present situation? 2 mk
(e) What lesson can be learned from Mwanaheri's life story? 3 mk
(e) What lessons can be learned from Mwanaheri's life story? 2 mk

Upgrade to see model answers.

Section B

3. 0 marks

(a) Neno 0 mk
(b) Kirai 0 mk
(c) Kishazi 0 mk
(d) Sentensi 0 mk
(e) Kamusi 0 mk

Upgrade to see model answers.

4. 0 marks

(a) beba 0 mk
(b) pokea 0 mk
(c) rudi 0 mk
(d) soma 0 mk
(e) shughuli 0 mk
(f) sema 0 mk
(g) penda 0 mk
(h) heshima 0 mk
(i) pigo 0 mk
(j) pika 0 mk

Upgrade to see model answers.

5. 9 marks

Identify the characteristics of the bolded words in the verbs given.

(a) Futa ubao. 1 mk
(b) Hutafaulu mtihani. 1 mk
(c) Ametualika. 1 mk
(d) Mtoto hulia mara nyingi. 1 mk
(e) Yeye ni mwalimu. 1 mk
(f) Mgonjwa amejilaza chini. 1 mk
(g) Wanaosoma vitabu vyao. 1 mk
(h) Paka amepigwa. 1 mk
(i) Mti umekatika. 1 mk

Upgrade to see model answers.

6. 8 marks

Read the following questions regarding conjunctions in sentences.

(a) Eleza maana na dhima ya kiunganishi katika sentensi. 2 mk
(b) Tunga sentensi mbili kwa kila kiunganishi kifuatacho; 6 mk

Upgrade to see model answers.

7. 10 marks

"Attaching words is one way of generating new words in Swahili." Define three ways of attaching words and give two examples for each method you define.

(none) Bainisha njia tatu za kuambatanisha maneno kisha toa mifano miwili kwa kila njia ulioibainisha. 10 mk

Upgrade to see model answers.

Section C

8. 10 marks

Differentiate the structure of a formal letter and a friendly/kin letter.

(none) Tofautisha muundo wa barua rasmi na barua za kindugu/kirafiki. 10 mk

Upgrade to see model answers.

9. 10 marks

Imagine you are a rice trader and want to advertise your business both domestically and internationally. Write an advertisement about this business and your name should be Pera Mlavi.

(none) Andika tangazo kuhusu biashara hiyo na jina lako liwe Pera Mlavi. 10 mk

Upgrade to see model answers.

Section D

10. 10 marks

"A characteristic of language is its ability to receive vocabulary from foreign languages." Using examples, explain four reasons why Swahili has more Arabic loanwords than from other foreign languages.

(none) Eleza sababu nne zilizokifanya Kiswahili kuwa nameno mengi ya Kiarabu kuliko kutoka lugha nyingine za kigeni. 10 mk

Upgrade to see model answers.

Section E

11. 15 marks

Explain the meaning and usage of the following proverbs: (a) Kivuli cha fimbo hakimfichi mtu jua. (b) Mchimba kisima huingia mwenyewe. (c) Ukiona zinduna ambari iko nyuma. (d) Waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba. (e) Mbaazi ukikosa maua husingizia jua.

(a) Kivuli cha fimbo hakimfichi mtu jua. 3 mk
(b) Mchimba kisima huingia mwenyewe. 3 mk
(c) Ukiona zinduna ambari iko nyuma. 3 mk
(d) Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba. 3 mk
(e) Mbaazi ukikosa maua husingizia jua. 3 mk

Upgrade to see model answers.

12. 15 marks

“Poets use their poems to educate the society about the issues affecting it.” Prove the truth of this statement by using three arguments from each of the two poetry collections you have studied.

(a) Kila hoja kutoka diwani ya kwanza. 5 mk
(b) Kila hoja kutoka diwani ya pili. 5 mk
(c) Muunganiko na uhalisi wa hoja. 5 mk

Upgrade to see model answers.

13. 15 marks

“A woman is a compassionate and virtuous person.” Prove this argument by giving three arguments for each book from the two novels listed.

(a) Hoja tatu kutoka riwaya ya kwanza. 7 mk
(b) Hoja tatu kutoka riwaya ya pili. 8 mk

Upgrade to see model answers.

14. 15 marks

“Playwrights have failed to convey messages to the intended society.” Refute this statement by using three arguments for each book from the two plays you have studied.

(a) Hoja tatu kutoka tamthiliya ya kwanza. 7 mk
(b) Hoja tatu kutoka tamthiliya ya pili. 8 mk

Upgrade to see model answers.

15. 15 marks

Compose a poem with four stanzas on “The Importance of a New Constitution in Tanzania.”

(a) Utenzi wenye beti nne (4) juu ya umuhimu wa Katiba Mpya Tanzania. 15 mk

Upgrade to see model answers.

💡 Unlock all answers & explanations
Premium · 3000 TZS/mo