← Rudi kwenye karatasi
SFNA 🏝 ZEC ✓ MS inapatikana

Science · Karatasi 1 · 2018

20 maswali

💰 Fanya mtihani kamili TZS 200

Mtihani wa saa 3 wa muda · husahihishwa kiotomatiki · huhesabiwa kwenye nafasiMazoezi ya saa 3 · husahihishwa moja kwa moja · huhesabika kwenye nafasiMazoezi ya saa 3 · husahihishwa moja kwa moja · huhesabika kwenye nafasi

Lipa na anza mtihani →

Maswali (20)

Sehemu A

1. 1 alama

Which of the following animals are not domesticated? A. Goat and Cat B. Deer and Tortoise C. Donkey and Cow D. Cat and Dog

A. Mbuzi na Paka
B. Paa na Kobe
C. Punda na ng’ombe
D. Paka na mbwa
2. 5 alamas

Write True or False in the boxes below i. Benefits of forests include obtaining products like honey and wax. ii. A rainbow occurs when sunlight shines on water droplets in the atmosphere. iii. Sound is produced by stationary objects. iv. A laboratory thermometer measures temperature between 0oC and 50oC. v. A nursery is a small area where seeds are planted to grow seedlings.

  1. Faida za misitu ni kupatikana kwa mazao kama asali na nta. (1 alama)
  2. Kipigi hupatikana wakati mwangaza wa jua unapopiga katika matone ya maji yanayopatikana angani. (1 alama)
  3. Sauti hutokea katika vitu vilivyo tulia. (1 alama)
  4. Kipima joto cha maabara hupima jotoridi baina nyuzi joto 0oC mpaka 50oC. (1 alama)
  5. Kitalu ni sehemu ndogo iliyopandwa mbegu kwa ajili ya kupata miche. (1 alama)

Boresha ili kuona majibu ya mfano.

3. 5 alamas

Match the descriptions in SECTION A by choosing the correct word from SECTION B. Then write only the letter in the box. SECTION A i. Area surrounded by magnetism ii. Like poles repel each other iii. A device that attracts objects made of iron iv. Method of making a magnet v. Used to show the magnetic field SECTION B A. Magnet B. Magnetic field C. Iron filings D. Law of magnetism E. Repel F. Rod or nail G. Induction H. North pole

  1. Eneo linalozungukwa na sumaku (1 alama)
  2. Ncha za aina moja hukwepana (1 alama)
  3. Kifaa chenye kuvuta vitu vyenye asili ya chuma (1 alama)
  4. Njia ya kutengeneza sumaku (1 alama)
  5. Hutumika katika kuonesha uga wa sumaku (1 alama)

Boresha ili kuona majibu ya mfano.

4. 3 alamas

Complete the following sentences: c) Soil of _________________________ is a mixture of clay soil, sand and humus. d) The disadvantages of insects are causing ____________ to humans. e) Chickens can spread __________ of birds. (Use the following words to complete the sentences: maradhi, amita, mfinyazi, tepu, kinamo, mafua, kamba, voltimita, mafuta.)

  1. Potenshali hupimwa kwa kutumia ____________ (1 alama)
  2. Udongo wa _________________________ ni mchanganyiko wa udongo wa kinongo, kichanga na mboji. (1 alama)
  3. Urefu, eneo, upana na masafa hupimwa kwa kutumia ________________ (1 alama)
  4. Hasara za wadudu ni kusababisha ____________ kwa binaadamu. (1 alama)
  5. Kuku huweza kueneza _____________ ya ndege. (1 alama)

Boresha ili kuona majibu ya mfano.

Sehemu B

5. 6 alamas

a) What is the importance of air to living things? b) Mention two (2) sources of air. c) Write two (2) uses of air.

  1. Hewa ina umuhimu gani kwa viumbe? (2 alama)
  2. Taja vyanzo viwili (2) vya hewa. (2 alama)
  3. Andika matumizi mawili (2) ya hewa. (2 alama)

Boresha ili kuona majibu ya mfano.

10. 5 alamas

b) State one (1) function of each part you filled above

  1. ________________________________________ (1 alama)
  2. ________________________________________ (1 alama)
  3. ________________________________________ (1 alama)
  4. ________________________________________ (1 alama)
  5. ________________________________________ (1 alama)
  6. 5. (1 alama)
  7. (1 alama)

Boresha ili kuona majibu ya mfano.

Sehemu C

6. 2 alamas

c) State two (2) characteristics of light.

  1. ______________________________________ ______________________________________ ______________________________________ (1 alama)
  2. Nini maana ya kivuli? (2 alama)
  3. Orodhesha vyanzo viwili (2) vya mwangaza visivyo vya asili. (2 alama)
  4. ______________________________________ ______________________________________ ______________________________________ (1 alama)
  5. Taja tabia mbili (2) za mwangaza. (2 alama)

Boresha ili kuona majibu ya mfano.

7. 2 alamas

c) State two (2) symptoms of high blood pressure.

  1. Nini maana ya msongo? (2 alama)
  2. ______________________________________ ______________________________________ (1 alama)
  3. __________________________________________ __________________________________________ __________________________________________ __________________________________________ __________________________________________ __________________________________________ (2 alama)
  4. ______________________________________ ______________________________________ (1 alama)

Boresha ili kuona majibu ya mfano.

Sehemu N

8. 5 alamas

Complete the table below by filling in the blanks:

  1. KIFAA: Mtaro, MATUMIZI: Hutumika kupitisha maji __________. (1 alama)
  2. KIFAA: Reki, MATUMIZI: Hutumika _____________________ taka taka. (1 alama)
  3. KIFAA: Karo, MATUMIZI: Hutumika ____________________ maji machafu. (1 alama)
  4. KIFAA: Kibati, MATUMIZI: Hutumika ________________ taka. (1 alama)
  5. KIFAA: Mafuta ya taa, MATUMIZI: Huondoa ______________________ mbaya chooni. (1 alama)
  6. KIFAA: _______, MATUMIZI: _______ (0 alama)

Boresha ili kuona majibu ya mfano.

9. 5 alamas

Complete the following table by filling in the correct words in the blanks:

  1. PICHA: (Implicitly related to row 'a'), JINA MNYAMA: Popo wa Pemba, SEHEMU ADIMU AU SI ANAYOISHI ADIMU: ___________, MAELEZO: __________ (1 alama)
  2. PICHA: (Implicitly related to row 'b'), JINA MNYAMA: ___________, SEHEMU ADIMU AU SI ANAYOISHI ADIMU: ___________, MAELEZO: Nchi kavu (1 alama)
  3. PICHA: (Implicitly related to row 'c'), JINA MNYAMA: ___________, SEHEMU ADIMU AU SI ANAYOISHI ADIMU: Si adimu, MAELEZO: __________ (1 alama)
  4. PICHA: (Implicitly related to row 'd'), JINA MNYAMA: ___________, SEHEMU ADIMU AU SI ANAYOISHI ADIMU: ___________, MAELEZO: Baharini (1 alama)
  5. PICHA: (Implicitly related to row 'e'), JINA MNYAMA: Pomboo, SEHEMU ADIMU AU SI ANAYOISHI ADIMU: ___________, MAELEZO: __________ (1 alama)

Boresha ili kuona majibu ya mfano.

💡 Fungua majibu na maelezo yote
Premium · 3000 TZS/mo